Hili hapa tangazo la Walioitwa kwenye Usaili (Wito) Wizara ya Afya Zanzibar 2025 Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia vijana walioomba nafasi za kazi Wizara ya Afya-Unguja kuhudhuria katika usaili utakaofanyika katika Spitali ya Wagonjwa wa Akili iliyopo Kidongochekundu saa 2:00 asubuhi.
Soma zaidi:-
Kujua usaili wa udereva wizara ya afya
Udereva wizara ya afya?