Follow WhatsApp Channel
Careers & Opportunities

Nafasi za Kazi Wilaya ya Singida 2025

Nafasi za Kazi Wilaya ya Singida 2025

Nafasi za Kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida amepokea kibali cha utekelezaji wa Ajira mpya katika mwaka wa fedha 2023/2024 na 2024/2025 kwa barua yenye Kumb. Na.FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 26/04/2025 na barua yenye kumb Na. FA.97/288/01/09 ya tarehe 25/06/2024, kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Hivyo, anapenda kuwatangazia watanzania wote wenye sifa kutuma maombi kwa nafasi zifuatazo.

Pakua PDF hapa

Soma zaidi:-

  1. NECTA Selection 2025 Uchaguzi
  2. Tamisemi Selection 2025 – Yote Unayopaswa Kujua
  3. Selection Form Five 2025 to 2026
  4. Selection Form Five 2025 – Jinsi ya Kuangalia Majina
  5. Form Five Selection 2025 (Waliochaguliwa Kidato cha Tano)

Leave a Comment