Habari na Matukio WhatsApp
Careers & Opportunities

MATOKEO YA USAILI WA VITENDO ULIOFANYIKA TAREHE 02/06/2025

MATOKEO YA USAILI WA VITENDO ULIOFANYIKA TAREHE 02/06/2025

Haya hapa matokeo ya usaili wa vitendo uliofanyika tarehe 02/06/2025 ajira portal Wasailiwa wote waliochaguliwa wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la kufanyia usaili. Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates) pamoja na kitambulisho.

Pakua PDF hapa

Soma zaidi:-

  1. Nafasi za Kazi Wilaya ya Bumbuli
  2. Nafasi za Kazi Wilaya ya Singida
  3. Nafasi za Kazi Bagomoyo Sugar
  4. Nafasi za Kazi Exim Bank

Leave a Comment