Ada na Kozi zinazotolewa Chuo cha CBE, Sifa za Kujiunga, Gharama fomu za kujiunga 2025 Tangazo la kujiunga na masomo ya cheti cha msingi (NTA level 4), cheti cha teknishani (NTA level 5), shahada ya kwanza, diploma ya juu ya utaalamu na shahada ya uzamili kwa mwaka wa masomo 2025/2026 (muda wa septemba)
Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) anawakaribisha vijana na wote wanaohitaji kujiunga na masomo katika kampasi zake zilizopo dar es salaam, dodoma, mwanza na mbeya kwa ngazi za cheti cha msingi (NTA level 4), cheti cha teknishani (nta level 5), shahada ya kwanza, diploma ya juu na shahada ya uzamili kwa mwaka wa masomo wa 2025/2026 intake ya septemba.

Soma zaidi:
Leave a Comment